CURRENCY CONVERTER

FreeCurrencyRates.com

New Ads

USHINDI WA LISU

Wakili msomi Mhe.Tundu Lissu ameshinda Urais wa Chama cha wanasheria nchini (TLS) kwa kupata kura 1,411 kati ya kura 1,682 zilizopigwa, sawa na ushindi wa 84% ya kura zote.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]