CURRENCY CONVERTER

FreeCurrencyRates.com

New Ads

makala mbalimbali

BREAKING NEWS: MOTO WAUNGUZA SHULE YA WASICHANA KOROGWE


Shule ya Sekondari ya Wasichana Korogwe iliyoko wilayani Korogwe Mkoa wa Tanga, inaungua moto usiku huu, huku chanzo cha ajali ya moto huo kikiwa hakijajulikana. Inadaiwa watu kadhaa wamejeruhiwa kutokana na moto huo. Hakuna vifo vilivyoripotiwa ama kuthibitishwa hadi sasa.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]